BAADA YA PAPA KUTANGAZA KUJIUZULU RADI YAPIGA KANISA

Je! Hii ni ishara kutoka kwa Mungu? Sababu amini usiamini saa kadhaa baada ya Papa Benedict XVI kutangaza kuwa atajiuzulu radi kubwa ilipiga kwenye kanisa la St Peter’s Basilica.
Papa Benedict aliwashtua mabilioni ya waumini wa kanisa katoliki duniani kwa kutangaza kuwa atajiuzulu mwishoni mwa mwezi huu.
Papa huyo mwenye miaka 85 amekuwa kiongozi wa kanisa hilo tangu mwaka 2005. 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment