HEMED ASEMA HAJAONA KAMA YEYE HAPA BONGO

Msanii wa Muziki wa kizazi kipya na pia Muigizaji wa Bongo movie Hemed Suleiman PHD afunguka na kudai hakuna kama yeye hapa Tanzania.
 Kwamba kuanzia Bongo Movie hata Bongo Music. Maranyingi katika story tulizopiga nae pia hakuishia kujisifia kuwa ye ni Bonge la Handsome hapa TZ na hakuna anaefika kwa Uzuri na Uvaaji pia.

''Kaka unajua hapa bongo ukianzia katika movie muziki huwezi kumpata kama mimi na ndio maana nikiingia sehemu unajua kabisa nimefika maana watu wote hugeuka kunitizama na hii inatokana na u handsome na jinsi navyonyuka pamba'' alisema hemed.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment