Stamina na Drasa waingia katika mgogoro kuhusu hiki hapa..

Baada ya Stamina kumvutia waya Darasa kwa sababu ya kufanya nae collable ambapo Darasa aliitika na kuelekea studio za Kiri kwa ajili ya kuingiza vocal, na kufanikiwa kuingiza vocal zake, Darasa ameshangazwa na uamuzi uliofikiwa na Stamina wa kumpigia simu asubuhi yake na kumwambia kuwa amefuta verse zake na hatakuwepo katika ngoma hiyo.
Gossip  Cop alipopiga story na Darasa, jamaa alisema sababu alizopewa na Stamina ni kuwa management yake ndio imekaa na kutoa uamuzi huo, kitu ambacho kilimfanya ajiuliza hiyo management yake imekaa saa ngapi kujadili swala hilo.....Msikilize Darasa na Stamina pia hapa chini wakiwa na Gossip Cop

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment