Kanye West na Kim Kardashian wametangaza siku ya harusi yao

Rapper Kanye West na Star wa reality show "Keeping up with the Kardashians" Kim Kardashian wanatarajia kufunga ndoa yao mwezi May  tarehe 24.

Kutokana na mtandao wa Daily mail, ndoa hiyo wataifungia Ufaransa katika mji wa Paris.
Mwezi uliopita Kim alisema kadri siku zinavyozidi kwenda wanaona kabisa ndoa yao itakuwa ni ndogo sana na wala haitakuwa kubwa kama watu wanavyofikiria.
 Mwezi wa kumi Kanye ali-propose kwa Kim katika sherehe binafsi iliyofanyika AT&T Park, Francisco, California.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment