Loboko:Colonel Mustapha: Huddah ameleta shida na kutaka sauti zake zifutwe baada ya kuona picha yangu na msichana mwingie

Ile single iliyokuwa ikisubiriwa sana hasa baada ya scandle kadhaa kutokea kwa Msanii Colonel Mustapha na hasa baada ya wao kujitangaza kuwa ni wapenzi, leo hii imetoka na exclusive unapata nafasi ya kuiskiliza hapa.
Kama unakumbuka katika interview niliyoifanya na Mustapha wiki iliyopita, alisema kuna single ambayo itatoka akiwa amemshirikisha Huddah aliyoipa jina la Loboko, lakini leo hii ameidondosha single hiyo hapa Exclusive, lakini sauti ya mwanadada Hudda haiskiki 

 Baada ya kumvutia waya mpaka alipo 254 Nairobi Kenya, Mustapha amesema Hudda ameleta shida baada ya kuona picha hii ya Musapha akiwa na msupuu mwingine.
 
na akadai producer aondoe sauti zake kwenye wimbo waliofanya wote na hivyo kuufanya mwenyewe.

Usikose kumsikiliza kupitia soso fresh  Ijumaa saa nne mpaka saba kamili usiku akifunguka  zaidi

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment