Video: Nicki Minaj akana kumzuia Boss wake "BIRDMAN" kuingia kwenye party yake

Habari zilizokuwa zimesambaa siku ya jana ni kuwa, Nicki Minaj aliamua kumdiss Boss wake "Bird Man" kwa kuegamia upande wa Lil Wayne katika ugomzi walionao, baada ya kumzuia kuingia katika pre party a

CEO wa Cash Money alikataliwa kuingia kwenye pre party ya Grammy weekend hii na story zikazagaa kuwa Minaj anahusika katika kukataliwa kwake kwa kuwa yeye ndie aliekuwa host wa party hio.

watu wa karibu na Nicki wamesema Bird Man alikataliwa  kuingia club 1OAK  kwasababu walikwa wakitaka kuagiza huduma za chupa (bottles) na club ilikuwa inafungwa ndani ya dakika 15.
Licha ya hivyo, inasemekana Nicki alikuwa kashaondoka na mataa ya ndani ya club yalikuwa tayari yameshawashwa.
Nikki na Drake wameamua kujiweka mbali na bifg linaloendelea kati ya Wayne na Birdman licha ya Wayne kusema ataondoka nao akiondka Cash Money.
Drake na Nicki  wanatamani mabosi wao wamalize tofauti zao kwasababu inapoelekea ni pabaya..licha y akuwa meli yenyewe ishazama kitambo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment