MTOTO WA MIAKA 6 AFARIKI DUNIA NCHINI UGANDA BAADA YA MAMA WA KAMBO KUFUNGIA WATOTO NDANI NA KUCHOMA MOTO NYUMBA
Kanakulya akiwa na mmoja wa watoto zake aliyeokolewa katika janga hilo.(Picha kwa hisani ya newvision.co.ug)
Mtoto
asiye na hatia amefariki dunia baada ya mama yake wa kambo kumfungia
ndani ya nyumba pamoja na ndugu zake watatu wakiwa wamelala kisha
akachoma nyumba moto.
Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku katika kijiji cha Namuyenje kilichopo katika wilaya ya Mukono.
Mtoto
huyo Shafik Jjuuko mwenye umri wa miaka 6 alifariki kwa kukosa hewa
wakati mama yake wa kambo Margaret Nampiima mwenye umri wa miaka 27
alipochoma moto nyumba waliokuwemo watoto hao huku baba yao ambaye ni
dereva akiwa safarini.
Watoto
...

Mtoto Ombeni Mbeula akiwa na mama yake Kilaudia Kigaila wakiwa hospitali
kama umeguswa na hali ya mtoto huyu tafadhari tuma choche kwa njia ya
M-Pesa 0757 498336 ili apata matibabu. (PICHA KWA HISANI YA PAMOJAPURE
BLOG)
DODOMA, Tanzania
Nyumba
iliungua wakati watoto hao wamekaa ndani na wakati huo huo mama wa
mtoto alikuwa amekwenda shambani maeneo ya Chitemo iliyoko wilaya ya
mpwapwa.
Wakati
mvua inanyesha ghafla nyumba ilibomoka na wakati huohuo walikuwa watoto
wawili walikuwa jikoni ndani ya hiyo nyumba.
Baada ya tukio hilo
kutokea ikafanyika uokoaji kwenye nyumba hiyo maeneo ya Chitemo...

0 comments:
Post a Comment