Q CHIEF NDANI YA BBA????

Kutoka 255 ya xxl ya Clouds Fm, mtu mzima Q chief, amehabarisha hatua aliyoichukua leo hii, kuelekea katika office za MultChoice zilizopo barabara ya Ally Hassan Mwinyi, na kuchukua form kwa ajili ya usahili wa kumpata muwakilishi atakaeiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo mwaka 2013.Qchief amekua ni mtu maarufu wa pili kuchukua form baada ya mwanadada Wema Sepetu kuchukua form wiki iliyopita

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment